Niko ready
Ready to la la la la
Love you till the wedding
Nioe maouti nikutoe
I wanna be your lady
La la la la la la la la
Sing for you my baby
Oh my baby
Pandisia furaha yangu huwa unaadisia
Kila wakati ukienda mbali mi hukukaribia
Sijapata matatizo kwako nimeridhia
Ninakataa staki kuwaskiza ju wanachukia
Siteseki na baridi ya July July
Alafu baby wangu hukuwa mshy mshy
Wangu ako honest baby did you lie
Did you lie
Anajua akichoma picha anaeza die die
So wacha nikuje ivi tucheze salsa salsa
Ah tunafanana wangu pacha pacha
Kawhiskey kameshika zimechacha
Na furahia ukitaka nilishe limbwata
Niko ready
Ready to la la la la
Love you till the wedding
Nioe maouti nikutoe
I wanna be your lady
La la la la la la la la
Sing for you my baby
Oh my baby
Oh baby
Ona vile unafanya nago crazy
I mean baby
Saa zingine unaifanya kikendrazy
Sweet melanin body nigga slim
I wanted to love you openly
So they can see
That ka si wewe sio mwengine
I better chill
Wacha mi heal aaaiih wid di medicine
A big bill he's a big deal
Nataka tufeel the vibe they can't feel
Nipigwe na wave unafanya nikae still
Wacha mi niheal aaaih wid di medicine
Niko ready
Ready to la la la la
Love you till the wedding
Nioe maouti nikutoe
I wanna be your lady
La la la la la la la la
Sing for you my baby
Oh my baby
Niko ready
Ready to la la la la
Love you till the wedding
Nioe maouti nikutoe
I wanna be your lady
La la la la la la la la
Sing for you my baby
Oh my baby
Niko ready
Ready to la la la la
Love you till the wedding
Nioe maouti nikutoe
I wanna be your lady
La la la la la la la la
Sing for you my baby
Oh my baby